Thursday 2 August 2012

Mtetea Mwizi nae ni mwizi

Wakenya yataka tujue kuwa kuna sirikali ilio kwa serikali mwajua Pro Sam Ongeri kwanini abanduki ng'o atamufanye nini nikwakuwa yeye ula nao hao na anajua pakumushika Kibaki japo ange mubadua ndio maana kulindana kuko,Kenya haiko salama kabisa.Ongeri musimuone kua ujeuri wake anautoa wapi hii nikutokana na kua anajua siri nyingi za Kibaki ndio maana ukiona mtu alio chiniyako kwa kazi akiwa mjeuri usidhani kua ninguvu zake ni nguvu za alio juu yako ndio zamufanya ivyo.
Sam Ongeri hakujua yakuwa Kibaki na Raila wote ni sawa(draw)akuna alio juu yamwengine lakini Raila hakutaka malumbano zaidi ndiomaana akanyamaza usemwa funika kombe mwana haramu apite.
Imejitokeza wazi kua mazingira anayo fanya nayokazi Raila nimagumu sana kwakuwa watu wamrengo ule wakutotaka mabadilko wamekuwa waki nunua wafanya kazi kwa Raila ili kumuvuruga akili.
Adui alio inje ya nyumba yako si hatari kama yule ambae yuko ndani.Ebu fikiria mtoto wako akinunuliwa kukuaribu wewe atashindwa au mfanyakazi wako?
Ni ajabu ata waleo Raila ajawekewa sumu na kufa.
Iko kwa kumbukumbu zetu hii ya Ongeri na Ruto kusimamishwa kazi

UKIWA MPENDA YA MUNGU UTASEMA UKWELI KUWA RAILA NI MKWELI SOTE NIBINADAMU NA TUNAMAPUNGUFU YETU LAKINI HAPA KWA ONGERI RAILA ALIFANYA VYEMA

Pro Ongeri atakumbukwa kwa kuwezesha watoto wafamilia masikini kujiunga na kidato cha kwanza jambo ambalo limefanya tumufutie thambi ya wizi aliotajwa nayo

No comments:

Post a Comment