Thursday 2 August 2012

Kabando wa Kabando

Kabando wa Kabando uyu msee pia sijakamilisha utafiti wangu,Wakenya! nawaomba kwaheshma nataadhima munipe ushirikiano wenu,nimewacha kulaumu wakikuyu kwa ujumula mtu na mchambua kama yeye alivyo hii nikutokana na marehemu J.M Kariuki baada ya kunijia ndotoni mara 3

No comments:

Post a Comment