Monday 20 August 2012

Mwai Kibaki hakutumia vita ili aapishwe lakini mafisadi wanao muzunguka ndio walipanga kutumia vita ili Raila asiwe Rais ye nimsafi na akuna mahali ICC itamupeleka,wana mzunguka ndio wanamutia hofu lakini hana kosa makosa niya wengine na twawajua kwa majina yao

No comments:

Post a Comment