Thursday 2 August 2012

KALEMBE NDILE KAPONEA CHUPU CHUPU

Ukiwa msema kweli watu wengi watakuchukia hii stori ya degree ilimulenga Kalembe ndile na kama tujuavyo hasimu wake mkuu ni makamu wa Rais Kalonzo Musyoka kuna tetesi ye ndio alimupandishia daraja kalembe mwajua mambo ya kalonzo uwa chini ya mukeka.Kina Uhuru na Ruto walimutengemea akatembea na kutembea mwisho wakapelekwa ICC tena harakahahahaha msicheze na mpita katikati wanubi usema mwenye matakombili.
Uyu Kalembe Ndile asha ponea chupuchupu hahahaha kwa mukutano wa Kalonzo uko kitui ebu mulizeni ilienda vipi ndio mjue vipi au nani ni nani kenya hii

No comments:

Post a Comment