Friday 23 March 2012

Watoa rushwa wa kubwa ndio wakushuhulukiwa

Serikali yafaa kushuhulikia watoa rushwa wakubwa hao ndio wanao umiza umma(raiya) kama kweli wao wana utu na ubinadamu.

KAZI YA RUSHWA YAFAA KUSHULIKIWA KWA JITIHADA ZETU SOTE ITAKUWA BURE KAMA WATOA RUSHWA WAKUBWA HAWATOSHUHULIKIWA IPASAVYO

No comments:

Post a Comment