Saturday 17 March 2012

Mutahi Ngunyi

Uyu ni mmoja ya watu wanae tumiwa kueneza chuki dhidi ya wakombozi wetu ambao wanataka kututoa kwa shida ilio wekwa na Raisi wa kwanza apa Kenya Jomo Kenyatta.

Wakenya kama Wakenya atuna shida lakini kuna hawa wenzetu ambao uongea vizuri sana ukiwasikiliza lakini uwa namipango yao wenyewe ambao wamejipangia ivyo sio watu wakuaminika ata sekunde moja.

 Niwito wangu mkae na mutafakari haya ninayo waeleza na muamue ki haki bila ya upendeleo kwaku muogopa MUNGU

No comments:

Post a Comment