Friday 2 March 2012

Shida tunazo pewa ni kundi ndogo ni dogo tukimukumbuka Mola (click usome)

Psalms34;15.......Mungu usikiza vilio(za wanyonge kama maovu yanayo tendwa ni mkuu wa benki apa Kenya Bwana Njunguna Ndung'u)Yafaa wakenya sote tuombe natutajibiwa hawa wezi hatuwawezi wanazo pesa za kumwaga kila mahali ivyo kilicho baki ni kumuomba mungu tu,

Shida ya mwenzio niyako.

Suratul Al- Baqarah aya 152 ya sema "Basinikumbukeni nitakukumbukeni; na nishukuruni wala msinikufuru"

Faz-kuruuniii 'az-kurkum washkuruu lii wa laa takfuruun.
Usifikiri kua leo hauna shida ukaona basi watu wangaishwe KENYA wanavyo angaishwa jua kuwa kila mtu ataulizwa je Mlimuona Kibaki kalemea upande mmoja mbona mukakimya,

USISEME HAYAKUHUSU SHIDA ZA BINADAMU MWENZIO NIZAKO NAZETU SOTE

No comments:

Post a Comment