Thursday 28 February 2013

Umasikini tukatae

Akuna binadamu bora kuliko mwengine ifike mahali tuchukulie watoto wote kua sawa,Sijambo jema

kuwacha watoto kulala njaa kuamuka njaa na kushindia maji.

hali hii tukatae kwakuweka Rais binadamu na sio katili ambae angalii masikini.

kuna vitu muhimu kwa binadamu

1;Afya
2;Chakula
3;Malazi

No comments:

Post a Comment