Thursday 28 February 2013

Sisi ndio tutaleta MAENDELEO KENYA

Usifikiri kua kuna mtu mwengine ataleta maendeleo Kenya ni sisi wenyewe ndio tutaleta maendelea kwa

1;Kua wazi
2;Wajibishanaji popote pale ukiona mtu anakosa unamambia apo kwa hapo bila ya kutazama na kusea siusiki.
3;Kuwacha kusema uwongo sema ukweli na ukweli hauwezi kua matamushi ya chuki "hate speech"au ukweli hauwezi ata siku moja ukavunja amani "peace"
mnasikia watu wakisema "peace kenya"mwajua nini maana ya kusema "peace"hii ni kutaka kuficha ubaya ili wazidi kupotosha ili wachaguliwe tena ukiwa unajua kitu sema usiogope,kimya kyetu kimetu sababishia miaka 50 tumebaki kua atusongi mbele ila usiseme uwongo sema ukweli atakama uchungu

4;Tuhubiri ukweli

5;Tuzingatie mila na tamaduni zetu ambapo mtoto alikuwa wajamii zima na ukimuona akifanya lolote baya mkanye au mumwambie mzazi wake na wazazi wengine kwakua ulea watoto wao kama mayai muwasute musiwawache wawaharibie madili watoto wengine

jitengezeeni kwa mitaa yenu umoja wakuwakanya na kuwasema watoto wabaya ili warudi kwa madili yetu yakiafrika

akuna mzazi apenda mtoto wake ajekua jambazi sugu au aje kupigwa risasi,jamii iungane nakusaidiana ata kwa malezi,ukiona mtoto wa mwezio hana nguo mpe za mtoto wako au mwambie mtoto wako amupe

No comments:

Post a Comment