Thursday 28 February 2013

Pimwa UTENDAJI

Wakenya yatupasa tuwe makini sana na kwangazi zote tumuweke mutu kwakumupima utendaji wake

wakazi na sio awe anatafuta mshahara mkubwa,

Tuchague mtu amae yuko teyari kufanya iyo kazi ata kwabure na nieleweke apa sio bure kabisa

apa na manisha apewe huduma muhimu kama
1;Chakula
2;Mavazi
3;Nyumba
4;Afya
5;Elimu kwa familia yake
6;Usafiri
7;Mavazi
Yaani tuchague mtu ambae akiambiwa atahudumiwa hizi vitu vyote bila ya kupewa shilingi 1ksh awe teyari kutumikia Kenya sio mtu anakimbilia mshahara tu na kutojali wananchi,
Kenya kuna watu wengi wadilifu na wana uchungu kuona masikini kila siku wanazidi kua

No comments:

Post a Comment