Utapata vitisho na vikwazo vingi ukiwa mkweli popote pale
Lakini nimuhimu kujipa moyo na kuendelea kuhubiri ukweli
Mara yote jambo jema upingwa kwa nguvu zote ni wanao faidika
kwa maovu yanayo endelea apa KENYA.
Na mafisadi utumia pesa zao walizo iba kwetu na kupindisha ukweli
Kama tujuavyo wakati wa Uchaguzi ukifika visa vingi vya mapigano
ya apa na pale ili wana siasa wapate fursa ya kurudi kwao ili waonekane
Wema msipotoshwe wakenya angalieni ukweli na musemi ukweli ulipo
Msibabaishwe sijui uyu kafungua chama ichi wala kile.
Wengi wamejificha kwa misingi ya CHAMA
Hilo kila mtu akae na ajue
Lakini nimuhimu kujipa moyo na kuendelea kuhubiri ukweli
Mara yote jambo jema upingwa kwa nguvu zote ni wanao faidika
kwa maovu yanayo endelea apa KENYA.
Na mafisadi utumia pesa zao walizo iba kwetu na kupindisha ukweli
Kama tujuavyo wakati wa Uchaguzi ukifika visa vingi vya mapigano
ya apa na pale ili wana siasa wapate fursa ya kurudi kwao ili waonekane
Wema msipotoshwe wakenya angalieni ukweli na musemi ukweli ulipo
Msibabaishwe sijui uyu kafungua chama ichi wala kile.
Wengi wamejificha kwa misingi ya CHAMA
Hilo kila mtu akae na ajue
True
ReplyDelete