Monday 16 July 2012

Nataka wakenya muwe wakweli na wawazi nakila mtu ataulizwa ulifanyaje ulipo ona ummaunapotoshwa ni MUNGU,Kama wewe kweli unamini kua GOD yupo simama kwa ukweli na usiogope wanao weza kuuwa mwili bali ogopa anae weza kuuwa mwili na roho nasimwengine ni MUNGU.
Mafisadi wamekuwa wakipotosha umma nakuungana kwanguvu zao zote kuondoa ukweli hizo ni nguvu za kishetani na usiseme hutoulizwa sema ukweli ulivyo bila kuongezea wala kupunguza usikae nakuona jamii inapotoshwa wazi wazi na unasema hili haliniusu.
Lakuhusu kwakuwa MOLA amekuwezesha kutizama nyuma nakuona yaliotokea.
Huyu Josiah Mwangi Kariuki maarufu kama J.M.Kariuki aliuwawa kinyama sana ni Baba yake Uhuru Kenyatta.
Uliza wazee J.M.Kariuki alikufa kufa kiaje?Alikatwakatwa akiwa hai kidogokidogo kidole kucha sikio tobolewa macho katwa sehemu zake za siri akiwa hai mpaka akafa.Story yenyewe ni ndefu mkitaka nitwapa kiurefu zaidi ili mutambuwe kua mafisadi hawakuaza leo na akuna siku ata ukweli utajulikana Kenya kwakuwa vyombo vya Habari vimemilikiwa na Mafisadi na serikali imekuwa mikononi mwa Mafisadi tangu 1964.
Ndio unapata anae kataa kuwa fisadi basi upigwa vita kwakila njia.
Tuweni wakweli ili tusafishe Kenya ambayo imejaa na walafi na watu wasio jali UTU NA UBINADAMU,
Tumufuraishe MUNGU KWA KUSEMA UKWELI KAMA ULIVYO.
Uyu J.M.Kariuki aliuwawa kwa kuwa aliuliwa ni Rais Kenyatta,mwisho alionekana Hilton Hotel akiandamana na walinzi wa Kenyatta mwezi wa tatu tarehe 3 mwaka 1975.
Siku zikapita na mabaki ya mwili wake ukapatikana na Mumasai Ole Tunda Musaita Ngong hills.
Mr Josiah Mwangi Kariuki died a violent death simply because he questioned the then President Kenyatta about the widening gap between rich and poor due to corruption,Jomo Kenyatta tortured him first,cuting his nail,fingers,eyes,private parts several day's later J.M. Kariuki remans were found by a maasai Tunda Ole Musaita in Ngong hills.
Last seen alive at Hilton hotel Nairobi accoumpanied by Kenyatta bodyguards on march 2,1975.
Unfair distribution of land todate in Kenya.
The same president killed many in Kisumu,I was shocked to find that some saying are true ICC Exposed our first President to be following his father footsteps.Like father like son does it goes like that?or is like son like father?correct me

No comments:

Post a Comment