Friday 24 February 2012

Tukatae

Wakenya lazma tujifunze kua wazalendo nakuipenda inchi yetu vilivyo.Sivizuri kuwachia wajanja wachache wazidi kunufaika kama wanavyo jinufaisha tangu 1964 mpaka waleo Yaani tunashindwa nikujitoa kwa mikono ya mfu bado anatumiliki sisi ata baada yakufa kwake?

No comments:

Post a Comment