Thursday 2 May 2013

Mabilioni kwa mtu mmoja nijambo halikubaliki Kenya

Wakenya tuna kila kitu kinachotuwezesha kuishi bila matatizo makubwa yanayotukabili

Haiwezekani au hakuna namna yeyote mtu mmoja anaweza kuwa na mabilioni ya shilingi katika

Akaunti huku watu wakikosa maji au vifaa hosipitalini na shuleni

Watu wakipoteza matumaini huwezi kuwafanya lolote

No comments:

Post a Comment